Sunday, 30 June 2013

HUYU NDIYE RAISI MPYA WA ST JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA(MH: CHRISPINUS CHRISTIAN)

Huyu ndio RAISI mpya wa ST JOSEPH UNIVERSITY(2013-14) MH:CHRISPINUS CHRISTIAN
Kiongozi huyu aliyechaguliwa kwa kishindo kikubwa kwa kumzunguka mara nne kwa idadi ya kura mpinzani wake,ameonekana kupendwa sana na wananchi kutokana na umakini wa sera zake na slogan zake kama THROUGH "COPERATION,RESPECT,DISCPLINE AND PATIENCE" TOGETHER WILL  DELIVER ,na upiganaji katika haki ya mnyonge pale alipoweza pigana na kuhakikisha watu zaidi ya 300 waliokosa mikopo kwa mwaka wa kwanza (2011/12) wa masomo kuweza kupata mikopo yao.

CONGRATULATION MR PRESIDENT...................

RAISI WA ST JOSEPH KATIKA POZI...... TOFAUTI


RAISI WA ST JOSEPH KATIKA POZI......

"
NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA KATIKA UTENDAJI WAKO WA KAZI.
KATIKA KULETA MABADILIKO MAPYA ST JOSEPH''

No comments:

Post a Comment