Sunday, 7 July 2013

NDEGE YA ASIANA 214 YAANGUKA NA KUTEKETEA KATIKA UWANJA WA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA SAN FRANSISCO USIKU WA JANA.


Ndege ya Asiana  214 ikiwa imeungua kwa ndani na kuharibika kabisa.
Ndege ya Asiana 214 ikiteketea kwa moto  baada ya kuanguka kwenye uwanja wa  kimataifa wa San Frans
isco hapo jana July 06, 2013Msemaji mkuu wa uwanja wa San Francissco, Doug Yakel akiongea na vyombo vya habari baada ya ndege ya Asiana  214 kuwaka moto.

No comments:

Post a Comment